Muungano kati ya Mudavadi, Wetangula, Kalonzo pamoja na mwenyekiti wa Kanu Gideon Moi hauna uhusiano wowote na deep state 

Baadhi ya wafwasi  wa muungano huo Sokoni Makunga wilayani Navakholo wakiongozwa na Ben Shibona wanadai kuwa hizo ni propaganda za wapinzani wa muungano huo ambao kwa sasa wameingiwa na hofu

Shibona aidha ametilia shaka  masharti mapya alotoa rais hivi maajuzi ikitiliwa mkazo kuwa yalikuja pindi tu baada ya kuwasili kwa chanjo dhidi ya virusi vya Corona

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE