Mwakilishi maalum katika bunge la kaunti ya Kakamega Lucy Chogo amewahimiza wakazi kushirikiana na mashirika yanayolenga kuboresha hali ya maisha kweza kujiendeleza

Akiongea eneo la Makhokho Idakho Mashariki eneo bunge la Ikolomani wakati wa kukabidhi shilingi milioni moja na laki nane  za kusaidia elimu ya wanafunzi kutoka shirika la Shining Hope For Communities, bi Chogo amesema kuna mengi ambayo yataafikiwa ikiwa vikundi zaidi vitajiunga na mashirika kama haya

Aidha bi chogo amewahimiza wazazi hasa akina mama kukumbatia miradi ya kuboresha mapato ili kurahisisha usaidizi kutoka kwa viongozi

By Lindah Adhiambo

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE