Zaidi ya wakaazi 15,000 kutoka kata ya Khalwenge Endebes kaunti ya Transnzoia wako kwenye hatari ya kupoteza mashamba yao kwa kukosa hatimiliki

Wakaazi hao sasa wanaitaka serikali kuharakisha mpango wa kutoa hatimiliki kwani baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa matapeli wanatishia kuwapokonya mashamba hayo wakitumia kisingizio cha wakaazi kukosa stakabadhi za kumiliki mashamba hayo

Kauli hiyo iliungwa mkono  na kiongozi wa kundi la wakaazi wasio na ardhi kutoka timboroa  la Timboroa Squaters kaunti ya Transnzoia Moses Masinde aliyetaka zoezi la kuwapa mashamba masquota wa shamba la Chepchoina kuharakishwa

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE