Wakaazi wa Teso kaunti ya Busia wametakiwa kukumbatia mradi wa bwawa la Ang’ololo unaotarajiwa kujengwa eneo hilo kwa ufadhili wa Benki ya Maendeleo ya Afrika

Mkurugenzi wa idara ya maji kaunti ya Busia James Imwene amesema kuwa mradi huo utawanufaisha   wakaazi wa Busia na hata wa nchi jirani ya Uganda

Kwa upende wake mwakilishiwadi ya Amurai Kaskazini ambaye pia ni naibu spika wa bunge la kaunti ya Busia okale Murunga amewataka wakaazi kuhusika kwenye vikao vya maoni kuhusu jinsi utakavyojengwa mradi huo na namna watakavyonufaika

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE