Wakaazi wa kijiji cha imakuchi katika lokesheni ndogo ya Ivakale

Lokesheni ya kambiri eneo bunge la Shinyalu, wanaombwa

Kutochukulia mzaha agizo la kufika kwenye baraza.

Akiongea na kituo hiki baada ya wakaazi hao kutofika katika baraza

Lililoitishwa hii leo ijuma katika kanisa la marafiki la Mungakha, mzee

Wa mtaa wa Imakuchi Evans Lisanza Mmayi anasema kwamba baraza

Hilo limeitishwa kufwatia pendekezo lake mjumbe wa Shinyalu Kizito

Mugali la kujenga shule mpya maeneo hayo.

Hata hivyo amewarai kufika kwenye baraza juma lijalo siku ya

Jumanne tarehe 16 asubuhi saa tatu ili kujadili swala hilo.

Story by Sajida Wycliffe

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE