Wakulima wa maziwa kutoka mtaa wa Bukura eneobunge la Butere wanalalamikia ushindani kutoka kwa serikali ya Kakamega kwenye biashara hiyo

Wakiongea na idhaa hii vyongozi pamoja na wanachama wa shirika la Butsotso South Dairy Cooperative  wakiongozwa na Joel Khaweri wanasema kuwa kituo cha  serikali ya kaunti ya Kakamega cha Bukura Agri Smart farm kimekuwa tishio kwa kilimo chao 

Wanasema kuwa hii ni kutokana na ushindani mkali wanaopata kutoka kwa kituo hicho

Wanasema kuwa imekuwa vigumu kwa wakulima kutoka eneo hilo kushirikiana na kituo hicho cha serikali

Wameeleza manufaa ya shirika lao haswa kwa wakulima wadogo kutoka eneo hilo tangia lilipozinduliwa

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE