Ajuza wa miaka sabini na miwili kutoka kijiji cha Isabane wadi ya Idakho Mashariki eneo Bunge la Ikolomani anaitaka serikali na wahisani kujitokeza na kumjengea nyumba baada ya nyumba yake kuanguka

Sulumena Achitsa ambaye ni mjane anasema kwa sasa amepewa makao na jirani yake lakini kwa sasa jirani anataka nafasi yake

Anasema ako na watoto wawili ambao hawana mapato na hata mvulana wake ametoweka nyumbani hajulikani aliko

By Imelda Lihavi

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE