Vyongozi kandhaa wanazidi kutoa hisia mseto kuhusu kudorora kwa elimu ya mtoto wa kiume siku moja tu baada ya kutolewa kwa matokeo ya mtiani wa darasa la nane nchini KCPE

Mwakilishiwadi wa Marama Central wilayani Butere Ondako Maina amesifia hali hiyo

Amehoji kuwa kwa muda mtoto wa kike amesalia nyuma haswa kimasomo na ni wakati wa juhudi zake kutambuliwa katika jamii

Kuhusu shule za Uma kufanya vema ikilinganishwa na zile za kibinafsi Ondako amesema kuwa huenda ilitokana na matayarisho duni kwa wanafunzi katika shule hizo za kibinafsi

Zaidi ya wanafunzi 500 wa shule za uma kutoka Wadi hiyo zikiwemo Bukolwe, Shitswitswi, Eshinamwenyuli , Ebulafu na ile ya Butere primary walipata alama 400 na zaidi huku Kiongozi huyo akiahidi kuwasaidia wasiojiweza kukamilisha masomo yao

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE