Zaidi ya familia 2800 eneobunge la Butere zinakabiliwa na tatizo la funza huku walioathirika zaidi wakiwa watoto wenye umri wa kwenda shule

Hii ni kauli yake  msimamizi wa shirika lisilo la kiserikali la Food and Tent linaloongoza kampeni dhidi ya funza eneobunge hilo la Butere Paul Obunde

Akizungumza sokoni Lunza kwenye hafla ya kutoa funza kwa wakaazi Obunde amesema kuwa hili linatatiza pakubwa masomo pamoja na shuguli za kila siku za waathiriwa 

Obunde aitha amelalamikia uhaba wa miundomsingi kwenye haswa madarasa kwenye shule eneo hilo kama baadhi ya visababishi vya kuenea kwa funza 

Obunde-miundomsingi Kwa upande wake mojawapo wa waasisi wa kampeni hizo Aswani wa Aswani amelaumu ufukara na uongozi mbaya Kama chanzo huku akiahidi kuendeleza kampeni hizo ili kukabili tatizo hilo

Story by James Nandwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE