Muungano wa KUPPET kaunti ya Kakamega umeondoa walimu lawamani kuhusu swala la dawa za kulevya miongoni mwa wanafunzi

Akiongea kwenye hafla ya kuchangisha pesa kusaidia mazishi ya mwalimu mmoja eneo la Ahisiru Lurambi mwenyekiti Johnston Wabuti amesema walimu hawapasi kuhusishwa na lawama kwani ni jukumu la serikali

Wabuti kwa upande mwingine  amelalamikia idadi ndogo ya nafasi za kuajiri walimu akiitaka tume ya TSC kuongeza kiwango

Vile vile ametaka swala la mwaka wa kumaliza chuo kuzingatiwa katika zoezi la kuajiri walimu
By Lindah Adhiambo

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE