Waimbaji wa nyimbo za kidini kutoka eneobunge la Mumias Mashariki wanazidi kulalamikia hatua ya serikali ya kufunga makanisa na kusitisha ibaada Kama njia mojawapo ya kukabili msambao wa virusi vya corona

Wakiongozwa na Sammy Lumbasi waimbaji hao wameonyesha kutoridhika na namna serikali inavyo tekeleza amri hiyo 

Kuhusu swala la masomo Lumbasi ametaka pawepo na uwazi kwenye shuguli za mashirika yanayowafadhili wanafunzi werevu wanaotoka jamii zisizo jiweza

Lumbasi vilevile ameitaka wizara ya elimu kutathmin upya na kumakinika swala la kuwateuwa wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza mwezi ujao

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE