Machifu na manaibu wao katika kaunti ya Kakamega waliendeleza msako kwenye makanisa kuona kwamba agizo la rais la kukabili maambukizi ya corona linatekelezwa

Chifu wa Butsotso Mashariki eneo la Lurambi Justus Mukoshi amewataka maafisa wa kamati yakidini ya kukabili corona kuwajibika na kuona kwamba maagizo yanatekelezwa.

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE