Watu kadhaa nchini bado wanahifadhi fedha zao kinyumbani wakitumia vyombo maalum vilivyoundwa kuhifadhi pesa zao

Kwenye kaunti ya Kakamega wanakijiji hutumia mbinu hii kama uwekaji wa fedha zao ambazo huenda wakazitumia kwa shughuli maalum walizoziandaa za usoni hasa ikiwemo biashara

Baadhi ya waliozungumzia  mbinu hii ya kuhifadhi fedha wanaamii kuwa mbinu hiyo ni bora hasa kulingana na mapato yao ya kinyumbani.

Licha ya baadhi kutumia mbinu hii bado kuna wale wanashikilia na kuamini mbinu zilizoko za kisasa za kuhifadhi hela zao.wanashikilia kwamba fedha si vyema kuhifadhiwa nyumbani kwani chochote kinaweza tokea na kuhathiri kiwango hizo cha fedha zilizohifadhiwa.

By Austin Shambetsa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE