Mwanasiasa David Wamatsi amekanusha tetesi kuwa Chama Cha ANC kinapinga ufufuzi wa kiwanda cha sukari Cha MUMIAS

Akizungumza nyumbani kwake kwenye hafla ya ukumbusho wa marehemu mamake Jesicah Omusotsi mwanasiasa huyo amewataka wanasiasa kukoma kutumia swala la MUMIAS kujinufaisha kisiasa

Amewataka wakaazi kujiandikisha kwa wingi kama wanachama wa ANC ili kukipa Chama hicho umaarufu kote nchini

Mwaniaji huyo wa kiti Cha ubunge eneobunge la MUMIAS Mashariki amewataka wakaazi kumuunga mkono Musalia Mudavadi ili kunufaika na miradi ya maendeleo huku akimsuta naiburais akimtaja kama asiye na lolote jipya kwa jamii ya Mulembe

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE