Serikali imeombwa  kuingililia kati ili kusaidia chama cha Butali Division Motorbike kilichoko eneo la Butali kata ya Matioli kaunti ndogo ya Malava kaunti ya Kakamega katikika kufanikisha miradi yao.

Jenifer onoka ambaye  ni karani wa chama cha butali division motor bike selfcare group ameitaka serikali ya kaunti ya kakamega  kuungililia kati ili kuwawezesha kufanikisha  miradi ambayo wanaazimia kutimiza katika chama chao

Naye ruth saidi ambaye ni  mweka hazina amezungumzia baadhi ya changamoto zinazowakabili kama wanachama wa butali division motorbike self care group

Benson ngaira mwenye kiti wa chama hiki kwa upande wake amewashauri wanabobaboda wenzake  kujiunga na vyama ili wakaweze kusaidika wakati wanapopatwa na magumu kwani umoja ni nguvu

By Mary Owano

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE