Huku serikali ikiweka masharti ya kudhibiti msambao wa virusi vya corona  baadhi ya sherehe zinazo adhimishwa kwenye hali tofauti zimewakosesha baadhi ya wakenya furaha ya kusherehekea

Ni ikiwemo sherehe ya siku ya kuzaliwa ambayo kila mmoja huadhimisha kwa kusherehekea na familia hata na marafiki

Kwa sasa hamna sherehe zinazoruhusiwa kuleta marafiki kwa pamoja kama njia moja ya kudhibiti msambao wa virusi vya corona

Hapa mwanadada Modester Alionya aliyekuwa akiadhimisha siku ya kuzaliwa anatueleza jinsi masharti hayo yalivyomkosesha raha ya kusherekea na kutoa wito kwa serikali kutadhmini upya masharti ya covid19

Hakuna aja waseme hakuna mtu kufanya sherehe ama bush  kwake nyumbani na the same time watu wanaenda club wanajaa baa watu wanajaaa sijui kati ya sherehe ambazo mtu ameandaa nyumbani na kuzingatia masharti yote ya corona na kule club watu wamejaa na akuna masharti ambayo wanazingatia naomba tu serikali iweze pia kuangalia kati alafu pia tumezoea corona sai tumejua jinsi ya kujikinga mi sioni haja ya restrictions

By Sajida Javan

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE