Viongozi wa kidini katika kaunti ya Kakamega wanaitaka serikali na viongozi kushirikiana kubuni mbinu za kukuza vipawa vya vijana ili kuepuka vifo kupitia kwa dawa za kulevya

Wakiongozwa na mchungaji Obadia Lumiti kwenye mazishi ya kijana Stephen Mwimali katika kijiji cha Ibale kata ndogo ya Indangalasia wamesema vijana wengi wamekuwa waraibu wa dawa za kulevya kwa kukosa usaidizi wa mwelekeo maishani

Wakazi wa eneo hilo wameunga mkono usemi huo wakisuta kituo kimoja cha ugemaji kwa kuwapotosha vijana

Kwa upande mwingine wachungaji hao wanaitaka serikali kuruhusu ibada za watu wachache kama ilivyoelekezwa na waziri

By Lindah Adhiambo

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE