Wakizungumza na wanahabari nje ya ofisi  za usajili wa vyeti hivyo mjini Bungoma,wakaazi hao wakiongozwa na  Hillary Barasa wamesema kuwa  wamechoshwa na ahadi za kila siku, huku wakitumia nauli  kusafiri kutoka mbali kwa minajili ya shughuli hiyo.

Aidha Barasa pia ametoa wito kwa viongozi  eneo laBungoma akiwemo kamishna  wa Kaunti ya Bungoma Samuel Kimiti kuingilia kati ili kukomesha ufisadi katika ofisi hiyo  ya usajili wa stakabadhi hizo muhimu jambo ambalo litawasaidia wakaazi kupata usaidizi kwa haraka.

Hii  hapa sauti ya mmoja wa wakaazi akielezea masaibu  wanayopitia  wanapotafuta usaidizi katika Ofisi hiyo

By Hillary Karungani

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE