Viongozi wa makanisa katika wadi ya Butsotso Mashariki wanaitaka serikali kubuni mbinu ya kutatua ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana kumaliza swala la utumizi wa dawa za kulevya ambazo zimeathiri maisha ya vijana wengi

Wakihutubu kwenye mazishi ya kijana Oliver Munanga eneo la Emusala wakiongozwa na mchungaji Vincent Shikombe wamesema inasikitisha vijana wengi kushindwa kumudu elimu na kukosa kibarua na hivyo kuishia kwa ulevi

Wamehimiza ushirikiano wa serikali na makanisa na wanajamii kuwashughulikia vijana

By Linda Adhiambo

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE