Baadhi ya wanasiasa wanaomuunga mkono naiburais eneobunge la BUTERE wamejitokeza na kumtetea vikali huku wakipinga madai ya ufisadi dhidi yake

Wakiongozwa na Charles Omusula Etemesi wanasiasa hao wamepuuzilia mbali madai hayo wakiyataja kama yasiyo na msingi wowote kisiasa

Mwanasaiasa huyo wa chama Cha UDA ameridhia mipango ya chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu ujao akisema kuwa wana imani ya kuunda serikali ijayo

Etemesi amesikitikia utovu wa usalama wadi ya Marama North eneobunge la BUTERE akimtaka kiongozi wa Sasa kushugulikia swala hilo kwa daharura

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE