Kufwatia kutiwa mbaroni kwa mwanabodaboda mmoja eneo la Makunga kaunti ndogo ya Mumias Mashariki  sasa wanabodaboda sokoni humo wamejitokeza na kukashifu vikali kitendo hicho

Wakiongozwa na Caleb Okumu wahudumu hao wa bodaboda  wametaka hatua kali ichukuliwe dhidi ya mhusika

Wanabodaboda hao aidha wamewatahadharisha wenzao dhidi ya vitendo sawia

Vijana hao vilevile wamekanusha kuwa sekta hiyo ya bodaboda hutumika kutekeleza uhalifu wakisema kuwa ni visa Kama hivyo tu vinavyotumika kuwaharibia saifa 

Mshukiwa anazuiliwa katika kituo cha polisi Cha Isongo wilayani Mumias Mashariki akingoja kufikishwa mahakamani

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE