Huku  mchakato  wa  kupigia  debe  ripoti  ya maridhiano  na  upatanishi  (BBI)    nchini     ikiendelea  kushika  kasi,  wananchi  wa  kaunti ya Kakamega eneo bunge la  Malava  katika  wanaomba serikali  kuwafikia  na  kuwapa  nakala  hizo  ili  waweze  kujisomea  na  kuzielewa.

Wananchi  hao  wanasema  kwamba  bado  hawaelewi  kilicho  ndani  ya  nakala  hiyo   iwapo  kitawajali  wafanya  biashara  wa  ngazi  za  chini  wakiwemo  wa  sekta  ya  boda-boda  au  la.

Hata  hivyo  wanaomba  serikali  kuweka  kipau  mbele  kushughulikia  madaktari  ili  warejee  kazini  badala  ya  kuangazia  zaidi  swala  la  BBI  huku  mwananchi  akiumia  kwa  kukosa  matibabu.

Story by Wycliffe Sajida

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE