Viongozi wa akina mama katika chama cha ANC eneo la Lurambi wanaitaka serikali kushirikiana na makundi ya mashinani kutoa msaada kwa watu wanaoishi na changamoto zikiwemo za ulemavu

Wakiongozwa na mwenyekiti wao Ruth Ombayo walipomtembelea msichana anayeishi na ulemavu eneo la Emasera Butsotso Mashariki wamesikitikia kutelekezwa kwa wale wenye changamoto

Familia na jamii walipongeza msaada huo kwa msichana ambaye hutembea kwa kuvuta tumbo yake

By Lindah Adhiambo

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE