Mwakilishiwadi wa Marama Central gatuzi dogo la Butere Ondako Maina amesema kuwa sharti wakaazi wapewe mafunzo ya kutosha kuhusu BBI kabla ya kuandaliwa kwa kura ya maoni

Kwenye kikao na wanahabari Ondako hata hivyo  amehoji kuwa yafaa vyongozi haswa wa mashinani kuhusishwa kwenye uhamasisho huo

Mwakilishiwadi huyo hata hivyo ameunga mkono pendekezo la wanasiasa kuwa na kiwango cha degree kwenye masomo yao ndiposa waruhusiwe kuwania kiti cha uakilishiwadi

Kiongozi huyo aidha ameusuta mrengo wa tangatanga kwa kuupotosha umaa kuhusu BBI

Story by James Nandwa.

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE