Wazee kutoka wadi ya Isukha Magharibi eneo bunge la Shinyalu kaunti ya Kakamega wamejitokeza kupinga pendekezo la baadhi ya wakazi kumtaka mwakilishi wadi wao Edward Shibembe kuwania kiti cha ubunge na badala yake wanamtaka kusalia kwenye kiti cha mwakilishi wadi

Wakiongozwa na Julius Likare wanamtaka Shibembe kukamilisha mipangilio yake kabla ya kusonga mbele kisiasa Kwa upande wake Edward Shibembe ambaye alitembelewa na waze hao nyumbani kwake eneo la Musingu amekubaliana na mapendekezo yao 

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE