Muungano wa walimu wa shule za upili KUPPET katika kaunti ya Kakamega unaitaka wizara ya elimu kugatua zoezi la kusahisha mitihani ili kuepusha mchanganyiko wa walimu wa kusahisha mtiahani kutoka sehemu mbali mbali na kuhatarisha maisha yao kwa maambukizo ya corona

 Katibu wa muungano huo Harrison Otota pamoja na mwenyekiti Johnston Wabuti wanawataka walimu kutokubali kushurutishwa kuenda jijini Nairobi kwa zoezi la kusahisha mitihani

 Wakati uo huo Wabuti ameitaka serikali kutowashurutisha walimu kupokea chanjo ya corona kabla ya kuchaguliwa kusahisha mitihani

By Richard Milimu

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE