Wahudumu wa bodaboda kaunti ya Bungoma wamefanya maandamano Kulalamikia usalama wao Baada ya mauwaji ya kiholela kushudiwa mara kwa mara mauji ya hivi punde kijana mmoja kuuliwa  na kutupwa sehemu ya Sikata eneo bunge la Kanduyi Kisha wezi hao wakatoroka na pikipiki.

Ni visa ambavyo vimechangia wahudumu wa bodaboda kufanya maandamano Kulalamikia usalama wao wakiwa Katika shughuli za kikazi 

Kampuni ya kupeana mikopo ya pikipiki vilevile wamelaumiwa pakubwa na wateja wao.

Aidha kamishna wa kaunti ya Bungoma Samuel Kimithi ameagiza kitengo Cha ujazuzi kuchunguza shirika la watu credit kuhusu MADAI ibuka.

By Imelda Lihavi

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE