Taharuki imetanda eneo la ileho  eneobunge la shinyalu kaunti ya kakamega baada ya mchungaji Nillah Imbenzi kufukua Nyungu za ushirikina kando ya Mto ligoshe

Kulingana na walioshuhudia kitendo hicho wakaazi hao wamekiri kuona maajabu na kuwasihi wanaojihushisha na vitendo hivyo kubadilika kwa minajili ya kuokoa eneo hilo

Hata hivyo Imbenzi ambaye ni Mchugaji wa kanisa la Canaan Fellowship amewasihi wakenya kujitenga na mambo yasiyo na maana bali wamtumainie Mungu

Story by Samson Nyongesa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE