Viongozi wa makanisa ya Kibaptisti eneo la Kakamega ya kati wameungana na wenzao kote nchini kukashifu hatua ya Rais Uhuru Kenyatta kuongeza muda wa kufungwa kwa makanisa

Wakiongozwa na mwenyekiti wa makanisa hayo eneo la Butsotso ya Mashariki Andrew Chepkosia  wamesema wako tayari kuzingatia masharti yaliyowekwa wakati wa ibada

Vile vile mchungaji Chepkosia ameitaka serikali kuendeleza msaada kwa wakongwe na wasiojiweza wakati huu wa janga la corona
By Lindah Adhiambo

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE