Mwili wa mwanamke wapatikana mtoni Shinyalu, Kakamega
Hali ya majonzi imetanda katika kijiji cha Ishisembe Kata ya Muranda eneo la Shinyalu Kaunti ya Kakamega baada ya mwili wa mwanamke mmoja wa miaka 53 kupatikana umetupwa kwenye mto Ishaviranga baada ya kudaiwa kunajisiwa. Wenyeji wakiongozwa na Ben Luvayi wanasema mwili wa mwendazake ulipatikana na watoto Waliokuwa wakichunga mifugo eneo hilo baada ya kuona …
Mwili wa mwanamke wapatikana mtoni Shinyalu, Kakamega Read More »