Mbunge katika bunge la kaunti ya Vihiga Beatrice Adagala ameitaka serikali kuekeza pakubwa kwenye michezo kama njia mojawapo ya kukuza vipaji miongoni mwa vijana

Adagala amesema kuwa hili litawawezesha vijana kujihusisha na spoti hivyo kutumia vema muda wao

Mwakilishi huyo wa kina mama kaunti ya Vihiga amesikitikia makaribisho hafifu yalofanyiwa wanaspoti walowakilisha kwenye michezo ya Olimpiki ilopita kule Tokyo Japan akilitaka bunge kupitisha sheria zitakazowatambua wanaspoti hata baada ya kusrltaafu

By James Nadwa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE