Siku moja baada ya wanachama wa UDA kukamatwa kwa madai ya kununua vitambulisho kwa wakazi, sasa mwakilishi wa wadi ya Shirere mwalimu David Ikunza anataka uchunguzi wa kina kufanywa na hatua kuchukuliwa

Licha ya wasimamizi wa chama cha UDA kukanusha madai hayo, Ikunza amesema vitendo sawia na hiki huenda vinalenga kusambaratisha Kura ya jamii ya waluhya

Wakati uo huo Ikunza anaitaka serikali kufanya uchunguzi na kurekebisha swala la wakenya kujipata wamesajiliwa kwa vyama vya kisiasa bila idhini yao

By Linda Adhiambo

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE