Maambukizi ya Corona kuongezeka nchini
Visa vipya vya maambukizi ya Covid-19 nchini ni 945 na kufikisha jumla ya visa 201, 954 vya mambukizi. Visa hivyo vipya ni kutoka kwa sampuli 7,295 zilizo pimwa chini ya saa ishirini na nne zilizo pita na kiwango cha maambukizi kikiwa aslimia 13.0% Maambukizi hayo mapya wakenya ni 910 ilhali 35 ni raia wa nchi …