Halaiki ya vijana kutoka eneobunge la likuyani hii leo wamejitokeza kwa minajili ya kuchaguliwa kuwa watumizi ya serikali kwa kitengo cha jeshi

Shughuli hiyo ambayo inaongoswa na maafisa wa kijeshi katika shule ya msingi ya Kongoni iliyoko eneobunge la likuyani  baadhi ya vijana wamechujwa kwa makosa madogo madogo huku wakijitahidi kujaribu bahati mwaka ujao huku wenzao wakiendelea na mazoezi

Hayo yakijiri shughuli ya leo ni ya kujua mbivu na mbichi watakao jiunga na huduma hiyo muhimu ya kulinda usalama wa nnchi.

Story by Samson Nyongesa

sadmin

By sadmin

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE