Lubao FM | 102.2 Hz

sadmin

KAKAMEGA COUNTY FISH FACTORY COMMISSIONED TO EXPORT FISH TO EU MARKET

Kakamega County Fish Processing Factory has been commissioned to market fish produced by local farmers locally and to European Union (EU) Countries. In a colourful event held at the factory situated in Kakamega town, Governor Dr Wycliffe Oparanya said operationalisation of the factory will be a game changer in the fisheries sector adding that the …

KAKAMEGA COUNTY FISH FACTORY COMMISSIONED TO EXPORT FISH TO EU MARKET Read More »

Governors from the Lake Region have hosted Ambassador of Sweden to Kenya, H.E. Caroline Vicini at the Kakamega County Government Headquarters.

Governors from the Lake Region have hosted Ambassador of Sweden to Kenya, H.E Caroline Vicini at the Kakamega, County Government Headquarters. Their bilateral talks touched on areas of partnership and investment especially in the realization of key infrastructural projects, creation of employment opportunities, Education and Trade. They also deliberated on creating linkages and partnerships in …

Governors from the Lake Region have hosted Ambassador of Sweden to Kenya, H.E. Caroline Vicini at the Kakamega County Government Headquarters. Read More »

Hofu ya Wizi Wa Kura Eneo Bunge La Matungu

Huku ikisalia masaa machache tu kwenye uchaguzi mdogo wa kumchagua mbunge wa eneola Matungu,,tetezi kadhaa zinazidi kuibuka miongoni mwa viongozi kutoka mirengo mbalimbali ya kisiasa ikiwemo ule wa UDA na ANC Akizungumza na wanahabari mwaniaji wa kiti hicho kwenye chama cha UDA Alex Lanya, mbunge wa Mumias Mashariki Benjamin Washiali na Paul Posho wanazidi kutoa …

Hofu ya Wizi Wa Kura Eneo Bunge La Matungu Read More »

Kilabu ya pombe kufunguliwa karibu na shule eneobunge la Mumias Mashariki

Wakaazi kata ndogo ya Khaimba wilayani Mumias Mashariki wanalalama kuhusu baa moja inayoendeshwa karibu na shule ya Khaimba Wakaazi hao wanasema kuwa hili limechangia kudorora kwa vuwango vya masomo mbali na kuongeza utovu wa maadili miongoni mwa watoto eneo hilo “Tuko na shule mbili primary na secondary na club  iko apo na watu wengi hukunywa …

Kilabu ya pombe kufunguliwa karibu na shule eneobunge la Mumias Mashariki Read More »

Mwili wa mwanaume mmoja kupatikana ukiwa na kamba shingoni kwenye uwanja wa shule ya Eshiakhulo eneobunge la Mumias Mashariki

Hofu imetanda katika mtaa wa Eshiakhulo eneobunge la Mumias Mashariki baada ya mwili wa mwanamme mmoja kupatikana ukiwa na kamba shingoni Kwenye uwanja wa shule ya upili ya Eshiakhulo Mwili huo ulopatikana Leo asubuhi ulikuwa na kamba shingoni dhibitisho kuwa mwendazake alijinyonga Chifu wa kata ndogo ya Khaimba Mary Njaya amesema kuwa mwili huo ulikuwa …

Mwili wa mwanaume mmoja kupatikana ukiwa na kamba shingoni kwenye uwanja wa shule ya Eshiakhulo eneobunge la Mumias Mashariki Read More »

Wizi wa kimabavu kaunti ya Kakamega Eneo bunge la Malava eneo La Tande

Genge la watu wanne waliyojihami kwa bunduki walimteka nyara mwanamme mwenye umri wa miaka 63 na kutoweka na takribani shilingi elfu mia saba pesa taslimu alizotoa kwenye benki moja mjini Kakamega. Kulingana na mzee Alphonce Maina amehoji hiki kuwa wanne hao waliyokuwa wamejihami walimfuata hadi nyumbani kwake katika kijiji cha Handidi na kumuamuru aingie gari …

Wizi wa kimabavu kaunti ya Kakamega Eneo bunge la Malava eneo La Tande Read More »

No political rally at Kabuchai Bungoma county

No political leader will be allowed to organise a political rally  at Kabuchai since the deadline has been rolled out. According to the press statement released by the Bungoma  County Commissioner”s Office,any act of organising any Gathering after deadline is awful and shall be treated as an offence. The statement has either  raised an alarm  that  …

No political rally at Kabuchai Bungoma county Read More »

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE