Wafanya biashara wa minada hasa wa kununua mifugo walalamikia kupanda

Kwa bei wa mifugo kama vile, mbuzi, kondoo na ngombe sokoni ikilinganishwa na

Hapo awali.kwa sasa inawalazimu wao kutembea kilomitre nyingi kwa shughuli

Ya kutafuta wateja wao ambao mara nyingi huenda wakakosekana.ingawa kwa

Wengine hupata manufaa wengi wao hubaki kuifanya tu kama kazi ya bora

Mkono kinywani.

Bei ya ng’ombe iko juu sana sasa hatuna wateja wa kununua ng’ombe sasa sijui tunafanyaje kwasababu wateja wetu wengi ni wa kuchija

Kwa huo ukosefu wa kuuza wengi wao hubidi kutumia mbinu mbadala za kupata

Fedha kupitia kazi hii aghalabu kwa kuukopesha wanaochinja vichinjioni au kuuza

Kwa bei duni ambayo huwa ni hasara.

Lakini hii biashara lazima uwe na mtu wa kichinjio ambaye atakua anachukua hiyo mifugo. Kwa sasa inabidi tukopeshe kwa sababu uwezi rudi nazo nyumbani na ng’ombe huwa pia inachoka na ukishakopesha mteja ataa kulipa polepole.

By Austine Shambetsa

Related Post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE