Lubao FM | 102.2 Hz

Lubao Digital

Happy Independence Day the Republic of Tajikistan

Tajikistan celebrates its Independence Day on 9 September. On this day Tajikistan got Independence from the Soviet Union in 1991. Tajikistan officially the Republic of Tajikistan, is a mountainous landlocked country in Central Asia. Afghanistan borders it to the south, Uzbekistan to the west, Kyrgyzstan to the north, and People’s Republic of China to the …

Happy Independence Day the Republic of Tajikistan Read More »

Uongozi wa Kaunti ya Busia Wasutwa kwa kukosa maono

Aliyekuwa kwa wakati mmoja mjumbe wa Funyula  Paul Otuma  sasa   ameusuta  uongozi wa kaunti ya Busia kwa kukosa maono ya maendeleo kwa  kaunti hiyo. Akiwa katika eneo ya Malanga eneo bunge la Nambale Otuma amesema kuwakulingana na  takrimu za hivi punde kaunti ya Busia imeorodheshwa miongoni  mwa kaunti maskini nchini licha ya kupakana na nchi …

Uongozi wa Kaunti ya Busia Wasutwa kwa kukosa maono Read More »

Viongozi wa kidini watahadharishwa dhidi ya kujihusisha na siasa

Kasisi mkuu kanisa la Baptist mjini Bungoma Clapperton Mchanga amewarai viongozi nchini kuwa na mshikamano tunapoelekea uchaguzi mkuu mwakani. Akizungumza kwenye hafla ya maombi  kanisani mwake mjini Bungoma  kasisi huyo amesikitikia vuta ni kuvute za kisiasa za viongozi wa haiba ya juu nchini zinazoendelea kushuhudiwa huku akitilia hofu kuwa huenda  zikaleta migogoro ya kisiasa  nchini. …

Viongozi wa kidini watahadharishwa dhidi ya kujihusisha na siasa Read More »

Wavulana waumia kimawazo kutokana na uja uzito/busia

Huku serikali na mashirika ya kijamii yakiendeleza vita dhidi ya mimba za mapema miongoni mwa wanafunzi wa kike, imebainika kuwa wahusika wa kiume wa mimba hizo ndio huathirika zaidi kuliko wenzao wa kike, baadhi yao wakijipata na magonjwa ya kiakili na hata kupoteza maisha. Shirika la vijana la Siki Youth Association limefichua kuwa, mvulana anapompachika …

Wavulana waumia kimawazo kutokana na uja uzito/busia Read More »

Wito kwa walio na uwezo kuwafaa wasio na uwezo katika jamii kaunti ya Bungoma

Mwanaharakati wa maendeleo eneobunge la Bumula kaunti ya Bungoma Jack Wanami ametoa wito kwa walio na uwezo katika jamii kuwafaa wasiojiweza  na kuwainua kimaisha Akizungumza katika eneobunge lake Wanami amesema kuwa akishirikiana na washikadahu mbalimbali  watahakikisha kuwa wakaazi wote wasiojiweza wanapokea huduma za afya kupitia hazina ya matibabu nchini NHIF Amehoji kuwa wanao mpango vilevile …

Wito kwa walio na uwezo kuwafaa wasio na uwezo katika jamii kaunti ya Bungoma Read More »

Mrs. Khamala Aims to Solve Teenage Pregnancy In Lurambi Constituency

Parents’ lack of responsibility and poverty are the major causes of early pregnancy among female teenagers in society. Lurambi MNA’s wife Mrs. Roselyne Khamala observes that parents’ lack of parental care and basic needs leads these teenagers to involve in irresponsible act thus the early pregnancies. According to Mrs. Khamala it is the responsibility of …

Mrs. Khamala Aims to Solve Teenage Pregnancy In Lurambi Constituency Read More »

Vijana nchini watakiwa kujihusisha na miradi ya maendeleo na kutowategemea wanasiasa

Kudorora kwa kiwanda cha sukari cha Mumias kumekuwa chanzo cha masahibu yanayowakumba vijana eneo hili Mfanyibiashara kutoka kaunti ya Vihiga Billy Nyonje ameitaka serikali kuharakisha juhudi za kukifufua kiwanda hicho Nyonje amewataka vijana kujihusisha na miradi ya maendeleo na kukoma kuwategemea viongozi wa kisiasa Kauli iyoungwa mkono na naibu gavana wa Vihiga Patrick Saisi aliyewataka …

Vijana nchini watakiwa kujihusisha na miradi ya maendeleo na kutowategemea wanasiasa Read More »

Wahudumu wa bodaboda kushiriki mandamano ya Amani katika barabara ya Namutokholo kuelekea Kimabole

Wahudumu wa bodaboda kutoka eneo la Cheptais eneobunge la Mlima Elgon wameshiriki maandamano ya amani kulalamikia kile wanachodai kuhangaishwa na maafisa wa polisi wa Sirisia ambao wameweka kizuizi kwenye makutano ya barabara ya kutoka Namutokholo kuelekea Kimabole. Wahudumu hao wa bodaboda wanahoji kuwa lengo la maafisa wa polisi kutoka Sirisia  kuweka kizuizi kwenye barabara ya Namutokholo kuelekea Kimabole  lilikuwa ni kuwawezesha maafisa wa idara ya afya …

Wahudumu wa bodaboda kushiriki mandamano ya Amani katika barabara ya Namutokholo kuelekea Kimabole Read More »

Wakaazi wa kaunti ya Kakamega wanaombwa kutoa malalamishi yao kwenye kamati husika

Mshauri wa gavana wa Kakamega kuhusu maswala ya uongozi Musa Chibole amekanusha madai ya kuwepo kwa mapendeleo katika utoaji wa tenda kwenye kaunti hiyo Kwenye mahojiano ya kipekee na idhaa hii Chibole amesema kuwa shuguli hiyo hufanywa kwa uwazi akiwataka walio na malalamishi kuwasilisha kwenye kamati simamizi  Amesema kuwa hatua zote hufwatwa kikamilifu Amewataka wakaazi …

Wakaazi wa kaunti ya Kakamega wanaombwa kutoa malalamishi yao kwenye kamati husika Read More »

Wakaazi eneo la Mumias Mashariki kuishi kwa hofu kutokana na visa vya uhalifu

Viongozi mbalimbali kutoka eneobunge la Mumias Mashariki wanazidi kulalamikia utovu wa usalama ambao umekithiri eneo hilo  Mwanasiasa Paul Makokha amekuwa wa hivi punde kushtumu hali hii akilaumu idara ya usalama eneo hilo kwa utepetevu Makokha amesema kuwa huwenda polisi wanashirikiana na wahalifu kuwahangaisha raia akishangaa mbona wezi hao hawakabiliwi kisheria Kiongozi huyo amesikitikia kiwango cha …

Wakaazi eneo la Mumias Mashariki kuishi kwa hofu kutokana na visa vya uhalifu Read More »

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE