Msichana wa Chuo kikuu kuavya mimba na kutupa kijusi kichakani Kakamega.
Maafisa wa polisi mjini Kakamega wanachunguza kisa ambacho mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu cha sayansi na teknolojia cha masinde muliro anadaiwa kuavya mimba kabla yakutupa kijusi kwenye kichaka katika Mtaa wa kefinco wadi ya shieywe viungani mwa mji wa Kakamega. Kulingana na walioshuhudia kisa hicho wanadai kuwa msichana huyo aliavya mimba hiyo ya miezi Saba …
Msichana wa Chuo kikuu kuavya mimba na kutupa kijusi kichakani Kakamega. Read More »