Lubao FM | 102.2 Hz

Month: January 2021

Ajali mbaya eneo la Malava

Mwanaume mwenye umri wa makamo kwa majina Shikuku Cheto amefariki kutokana na ajali ya barabara iliotokea katika barabara  ya Malava kuelekea Webuye baada ya trekta waliyokuwa nayo kukatika breki na kumkanyaga katikati mwa tumbo lake na kupoteza uhai kabla hajafikishwa hosipitalini Akizungumza na idhaa hii  nduguye marehemu julius fulani amehoji kuwa lori lilifeli lilipokuwa likipanda …

Ajali mbaya eneo la Malava Read More »

Utata wa usambazaji maji katika eneo la Cheptais eneobunge la Mlima Elgon

Naibu Kamishna kaunti ndogo ya Cheptais eneo bunge la Mlima Elgon kaunti ya Bungoma Samuel Towet amesema ipo haja kwa jamii za eneo hilo kushirikiana ili kumaliza utata unaohusu usambazaji maji safi kwa wakazi. Akizungumza wakati wa mkutano wa uhamasisho kuhusu matumizi ya maji safi kwa wakazi, Naibu kamishna huyo amesema ni haki kikatiba kwa …

Utata wa usambazaji maji katika eneo la Cheptais eneobunge la Mlima Elgon Read More »

watu wenye ulemavu kaunti ya busia

Mwenyekiti wa muungano wa watu wenye ulemavu kaunti ya Busia Ronald Obiero amewasuta maafisa waliosimamia zoezi la kuwasajili makurutu wa kujiunga na shirika la wanyama pori nchini KWS kwa kuwapuuza walemavu kwenye kaunti hiyo. Kwenye kikao na wanahabari mjini Busia, Obiero amedai kuwa zoezi hilo ambalo lilifanyika hivi majuzi lilikumbwa na visa vya udanganyifu na …

watu wenye ulemavu kaunti ya busia Read More »

Wahudumu wapya wa afya kuajiriwa kaunti ya Busia

Serikali ya kaunti ya Busia imekamilisha zoezi la kupokea maombi kutoka kwa watu wanaotaka kuajiriwa Kama wahudumu wapya wa afya ambao watahojiwa na kuajiriwa na serikali ya gavana Sospeter Ojaamong kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wahudumu wa afya wanaoshiriki mgomo. Naibu gavana wa Busia Moses Mulomi amesema hawatafunga hospitali na zahanati na kuacha wagonjwa kuhangaika …

Wahudumu wapya wa afya kuajiriwa kaunti ya Busia Read More »

Swala la shule kuwa na Makasisi kuzingatiwa

Hali si hali katika eneo la Kapedo ambapo oparesheni ya kuwakamata wahalifu bado unaendelea, japo askofu la kanisa la Katoliki jimbo la Eldoret Askofu Dominic Kimengich ametoa mapendekezo kuhusiana na suala hilo na kusema kuwa idara ya usalama inafaa kuwakamata wahalifu pekee bali si kuathiri wakazi kutoka eneo hilo. Vile vile ameongeza kuwa licha ya …

Swala la shule kuwa na Makasisi kuzingatiwa Read More »

Viwanjani

Paris St-Germain itafikiria kumuuza mshambuliaji wa Ufaransa Kylian Mbappe, wa miaka 22, mwisho wa msimu huu iwapo mshindi huyo wa kombe la dunia atakataa kuandikisha kandarasi mpya na klabu hiyo. Klabu ya Liverpool na ile ya Real Madrid zina hamu ya kumsaini mshambuliaji huyo hatari. Huku ligi Uingereza klabu ya Chelsea ina hamu ya kumsaini …

Viwanjani Read More »

Timbo kuporomoka Bomet na kuwajerui watu watatu

Hali ya taaruki imetanda katika eneo la Konoin katika kaunti ya Bomet, baada ya timbo kuporomoka na kuwazika watu wanne walio kua wanachimba mchanga na kusababisha maafa ya mtu mmoja na wengine watatu kuokolewa Watatu walio nusurika mmoja alipata majeraha mabaya na kupelekwa katika hospitali ya misheni ya AIC katika kaunti ya Kericho  na wawili …

Timbo kuporomoka Bomet na kuwajerui watu watatu Read More »

Serikali kujumuisha wanaoishi na ulemavu kwa mipangilio ya serikali

Wito umetolewa na viongozi wa wanaoishi na ulemavu kaunti ndogo ya Navakholo kaunti ya Kakamega chini ya mwenyekiti wao Barthez Wechuli kwamba serikali zote za kitaifa na kaunti ziweze kuwajumuisha katika mipangilio ya serikali ili kuona kwamba wanawakilishwa kikamilifu. Akizungumza na idhaa hii baada ya mkutano wao aliomba serikali kuwashirikisha walemavu katika mipangilio la sivyo …

Serikali kujumuisha wanaoishi na ulemavu kwa mipangilio ya serikali Read More »

Serikkali kuu na zile za kaunti kutafuta suluhu kwa mgogo wa wahudumu wa afya

Wakazi wa kaunti ya Kakamega wanaitaka serikali kuu na zile za kaunti kukomesha mabishano na kutafuta suluhu kwa mgomo wa wahudumu wa afya kuepusha vifo  Wakiongea kwenye mazishi ya mzee Cleophas Okoti katika kijiji cha Makusi wadi ya Butsotso Mashariki Lurambi ambaye alikuwa fundi wa nguo mjini Kakamega, mwenyekiti wa mafundi wa magari mjini Kakamega …

Serikkali kuu na zile za kaunti kutafuta suluhu kwa mgogo wa wahudumu wa afya Read More »

Mawaziri kaunti ya Bungoma Kudinda kujiwasilisha mbele ya bunge

Wanachama wa kamati ya uhasibu katika bunge la kaunti ya Bungoma wamegadhabishwa na hatua ya mawaziri katika serikali ya kaunti hii kudinda kujiwasilisha mbele yake ili kujibu maswali kuhusu matumizi ya fedha za mwaka wa kifedha wa elfu mbili kumi na nane elfu mbili kumina tisa. Wakiwahutubia wanahabari katika mkahawa mmoja mjini Chwele wakiongozwa na  …

Mawaziri kaunti ya Bungoma Kudinda kujiwasilisha mbele ya bunge Read More »

WP Radio
WP Radio
OFFLINE LIVE