Wakaazi kaunti ya Bungoma wanahimizwa kujiunga na chama cha U.D.A
Wakaazi wa eneobunge la Mlima Elgon na kaunti ya Bungoma kwa jumla wamehimizwa kujiunga kwenye chama cha United Democratic Aliance (U.D.A) ambacho kimetajwa kuwa cha kuunganisha wananchi kando na kujali maslahi ya mwananchi wa kawaida. Akihutubu mjini Cheptais baada ya kuzindua usajili wa wananchama wa U.D.A eneobunge la Mlima Elgon mbunge wa eneo hilo Fred …
Wakaazi kaunti ya Bungoma wanahimizwa kujiunga na chama cha U.D.A Read More »